Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu 34:9

Kumbukumbu 34:9 NENO

Basi Yoshua mwana wa Nuni alijazwa roho ya hekima kwa sababu Musa alikuwa ameweka mikono yake juu yake. Kwa hiyo Waisraeli wakamsikiliza na wakafanya yale ambayo Mwenyezi Mungu alikuwa amemwagiza Musa.