Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu 11:6-7

Kumbukumbu 11:6-7 NEN

wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, hema zao na kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali yao. Bali ilikuwa ni macho yenu wenyewe ambayo yaliyaona mambo haya yote makuu BWANA aliyoyatenda.

Video for Kumbukumbu 11:6-7