Kumbukumbu 11:6-7
Kumbukumbu 11:6-7 NEN
wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, hema zao na kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali yao. Bali ilikuwa ni macho yenu wenyewe ambayo yaliyaona mambo haya yote makuu BWANA aliyoyatenda.