Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 8:29-31

Matendo 8:29-31 NEN

Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, “Nenda kwenye lile gari ukae karibu nalo.” Ndipo Filipo akakimbilia lile gari na kumsikia yule mtu anasoma kitabu cha nabii Isaya. Filipo akamuuliza, “Je, unaelewa hayo usomayo?” Yule towashi akasema, “Nitawezaje kuelewa mtu asiponifafanulia?” Hivyo akamkaribisha Filipo ili apande na kuketi pamoja naye.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 8:29-31