Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:25-26

Matendo 16:25-26 NEN

Ilipokaribia usiku wa manane, Paulo na Sila walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, nao wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. Ghafula pakatokea tetemeko kubwa la ardhi, hata msingi wa gereza ukatikisika. Mara milango ya gereza ikafunguka na ile minyororo iliyowafunga kila mmoja ikafunguka.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 16:25-26