Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 4:3-4

2 Timotheo 4:3-4 NEN

Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani kuyasikia. Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Timotheo 4:3-4