Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 2:24-26

2 Timotheo 2:24-26 NEN

Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu. Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli, ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Timotheo 2:24-26