Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wathesalonike 3:12-13

1 Wathesalonike 3:12-13 NEN

Bwana na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu. Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wathesalonike 3:12-13