Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 2:1-2

1 Samweli 2:1-2 NEN

Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia BWANA, katika BWANA pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako. “Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama BWANA, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.