Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 17:1

1 Wafalme 17:1 NEN

Basi Eliya, Mtishbi kutoka Tishbi katika Gileadi, akamwambia Ahabu, “Kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninamtumikia, hapatakuwa na umande wala mvua katika miaka hii, isipokuwa kwa neno langu.”