Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohana 3:18-22

1 Yohana 3:18-22 NEN

Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli. Basi hivi ndivyo tutakavyoweza kujua ya kuwa sisi tu wa kweli na hivyo twaithibitisha mioyo yetu mbele za Mungu kila mara mioyo yetu inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu. Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu, lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yohana 3:18-22