Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 2:7-9

1 Wakorintho 2:7-9 NEN

Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. Lakini ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna jicho limepata kuona, wala sikio limepata kusikia, wala hayakuingia moyoni wowote, yale Mungu amewaandalia wale wampendao”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 2:7-9