Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Nyakati 1:28-31

1 Nyakati 1:28-31 NEN

Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.