1
Yeremia 13:23
Swahili Revised Union Version
Je! Mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoadoa yake? Kama aweza, ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema, ninyi mliozoea kutenda mabaya.
Linganisha
Chunguza Yeremia 13:23
2
Yeremia 13:16
Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.
Chunguza Yeremia 13:16
3
Yeremia 13:10
Watu hawa waovu, wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wanaokwenda kwa ushupavu wa mioyo yao, na kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu, watakuwa hali moja na kitambaa hiki kisichofaa kwa lolote.
Chunguza Yeremia 13:10
4
Yeremia 13:15
Sikilizeni ninyi, kategeni masikio yenu; msifanye kiburi; maana BWANA amenena.
Chunguza Yeremia 13:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video