1
Zekaria 10:1
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mwombeni Mwenyezi Mungu mvua wakati wa vuli; ndiye Mwenyezi Mungu atengenezaye mawingu ya tufani. Huwapa watu manyunyu ya mvua, pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.
Linganisha
Chunguza Zekaria 10:1
2
Zekaria 10:12
Nitawaimarisha katika Mwenyezi Mungu, na katika jina lake watatembea,” asema Mwenyezi Mungu.
Chunguza Zekaria 10:12
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video