1
Zaburi 94:19
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu, faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 94:19
2
Zaburi 94:18
Niliposema, “Mguu wangu unateleza,” Ee Mwenyezi Mungu, upendo wako ulinishikilia.
Chunguza Zaburi 94:18
3
Zaburi 94:22
Lakini Mwenyezi Mungu amekuwa ngome yangu, na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.
Chunguza Zaburi 94:22
4
Zaburi 94:12
Ee Mwenyezi Mungu, heri mtu anayeadhibishwa na wewe, mtu unayemfundisha kwa sheria yako
Chunguza Zaburi 94:12
5
Zaburi 94:17
Kama Mwenyezi Mungu hangenisaidia upesi, ningeishi katika kimya cha kifo.
Chunguza Zaburi 94:17
6
Zaburi 94:14
Kwa kuwa Mwenyezi Mungu hatawakataa watu wake, hatauacha urithi wake.
Chunguza Zaburi 94:14
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video