1
Zaburi 14:1
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka, matendo yao ni maovu kabisa; hakuna hata mmoja atendaye mema.
Linganisha
Chunguza Zaburi 14:1
2
Zaburi 14:2
Mwenyezi Mungu anawachungulia wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna mwenye hekima, yeyote anayemtafuta Mungu.
Chunguza Zaburi 14:2
3
Zaburi 14:3
Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja!
Chunguza Zaburi 14:3
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video