Zaburi 14:1
Zaburi 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema!
Shirikisha
Soma Zaburi 14Zaburi 14:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Shirikisha
Soma Zaburi 14