1
Mwanzo 46:3
Neno: Bibilia Takatifu
Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa.
Linganisha
Chunguza Mwanzo 46:3
2
Mwanzo 46:4
Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”
Chunguza Mwanzo 46:4
3
Mwanzo 46:29
gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.
Chunguza Mwanzo 46:29
4
Mwanzo 46:30
Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”
Chunguza Mwanzo 46:30
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video