1
Matendo 12:5
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini waumini wa Isa walikuwa wakimwombea kwa Mungu kwa bidii.
Linganisha
Chunguza Matendo 12:5
2
Matendo 12:7
Ghafula malaika wa Mwenyezi Mungu akatokea, na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.
Chunguza Matendo 12:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video