1
1 Nyakati 4:10
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Linganisha
Chunguza 1 Nyakati 4:10
2
1 Nyakati 4:9
Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
Chunguza 1 Nyakati 4:9
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video