1
Luka MT. 21:36
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.
Jämför
Utforska Luka MT. 21:36
2
Luka MT. 21:34
Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya
Utforska Luka MT. 21:34
3
Luka MT. 21:19
Kwa subira yenu mtazipata robo zenu.
Utforska Luka MT. 21:19
4
Luka MT. 21:15
Kwa maana mimi nitawapeni kinywa na hekima, ambayo watesi wenu hawataweza kuikana wala kushindana nayo.
Utforska Luka MT. 21:15
5
Luka MT. 21:33
Mbingu na inchi zitapita; bali maneno yangu hayatapita kamwe.
Utforska Luka MT. 21:33
6
Luka MT. 21:25-27
Na kutakuwa ishara katika jua na mwezi na nyota: na katika inchi dhiiki ya mataifa, wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakizimia kwa khofu, na kwa kutazamia yanayoujia ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikisika. Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika wingu kwa nguvu na utukufu mwingi.
Utforska Luka MT. 21:25-27
7
Luka MT. 21:17
Mtachukizwa na watu wote kwa ajili ya jina langu.
Utforska Luka MT. 21:17
8
Luka MT. 21:11
kutakuwa na matetemeko makubwa ya inchi mahali mahali, na njaa, na tauni. Kutakuwa na mambo ya kutisha, na ishara kuu kutoka mbinguni.
Utforska Luka MT. 21:11
9
Luka MT. 21:9-10
Nanyi mtakaposikia khabari za vita na fitina msitishwe: maana haya hayana buddi kutukia kwanza, lakini mwisho wenyewe hauji marra moja. Kiisha akawaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme
Utforska Luka MT. 21:9-10
10
Luka MT. 21:25-26
Na kutakuwa ishara katika jua na mwezi na nyota: na katika inchi dhiiki ya mataifa, wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakizimia kwa khofu, na kwa kutazamia yanayoujia ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikisika.
Utforska Luka MT. 21:25-26
11
Luka MT. 21:10
Kiisha akawaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme
Utforska Luka MT. 21:10
12
Luka MT. 21:8
Akasema, Jibadharini, msidanganyike; kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ndiye, na, Majira yamekaribia. Bassi, msiwafuate hawo.
Utforska Luka MT. 21:8
Hem
Bibeln
Planer
Videor