1
Yohana 1:12
Swahili Roehl Bible 1937
Lakini wo wote waliompokea aliwapa nguvu, wapate kuwa wana wa Mungu, ndio wale waliolitegemea Jina lake.
താരതമ്യം
Yohana 1:12 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Yohana 1:1
Hapo mwanzo palikuwapo Neno; hilo Neno lilikuwapo kwa Mungu, naye Mungu ndiye aliyekuwa Neno.
Yohana 1:1 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Yohana 1:5
Mwanga huu humulika gizani, lakini giza haikuushika.
Yohana 1:5 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Yohana 1:14
Neno lilipopata kuwa mtu, akatua kwetu, nasi tukauona utukufu wake, ni utukufu kama wa mwana aliyezaliwa wa pekee na baba yake, kwani alikuwa mwenye magawio na kweli yote.*
Yohana 1:14 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Yohana 1:3-4
Vyote viliumbwa nalo, pasipo hilo hakuna hata kimoja kilichoumbwa. Mwake hilo ndimo, uzima ulimokuwa, nao uzima ulikuwa mwanga wa watu.
Yohana 1:3-4 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Yohana 1:29
Kesho yake akamwona Yesu, akija kwake, akasema: Mtazameni mwana kondoo wa Mungu anayeyaondoa makosa ya ulimwengu!
Yohana 1:29 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
7
Yohana 1:10-11
Ulikuwamo ulimwenguni, nao ulimwengu uliumbwa nao, lakini ulimwengu haukuutambua. Alipofika mwake, wao waliokuwa wake hawakumpokea.
Yohana 1:10-11 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
8
Yohana 1:9
Ndio mwanga wa kweli unaomwangaza kila mtu, tena ndio uliokuwa ukija ulimwenguni.
Yohana 1:9 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
9
Yohana 1:17
Kwani Maonyo tulipewa na Mose, lakini ugawiaji na ukweli umekuja na Yesu Kristo.
Yohana 1:17 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ഭവനം
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ