1
Mattayo MT. 11:28
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye mizigo nami nitawapumzisha.
താരതമ്യം
Mattayo MT. 11:28 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mattayo MT. 11:29
Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu
Mattayo MT. 11:29 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mattayo MT. 11:30
kwa maana nira yangu laini, na mzigo wangu mwepesi.
Mattayo MT. 11:30 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mattayo MT. 11:27
Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.
Mattayo MT. 11:27 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Mattayo MT. 11:4-5
Yesu akajibu akawaambia, Enendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanakhubiriwa khabari njema.
Mattayo MT. 11:4-5 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Mattayo MT. 11:15
Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.
Mattayo MT. 11:15 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ഭവനം
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ