1
Yohane 10:10
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uhai – uhai kamili.
താരതമ്യം
Yohane 10:10 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Yohane 10:11
“Mimi ni mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo wake.
Yohane 10:11 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Yohane 10:27
Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi nawajua, nao hunifuata.
Yohane 10:27 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Yohane 10:28
Mimi nawapa uhai wa milele; nao hawatapotea milele, wala hakuna mtu atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu.
Yohane 10:28 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Yohane 10:9
Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.
Yohane 10:9 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Yohane 10:14
Mimi ni mchungaji mwema. Nawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi
Yohane 10:14 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
7
Yohane 10:29-30
Baba yangu ambaye ndiye aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wala hakuna awezaye kuwatoa mikononi mwake Baba. Mimi na Baba, tu mmoja.”
Yohane 10:29-30 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
8
Yohane 10:15
kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu kwa ajili yao.
Yohane 10:15 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
9
Yohane 10:18
Hakuna mtu anayeninyanganya uhai wangu; mimi nautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na uwezo wa kuuchukua tena. Hivi ndivyo Baba alivyoniamuru nifanye.”
Yohane 10:18 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
10
Yohane 10:7
Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
Yohane 10:7 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
11
Yohane 10:12
Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwamwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia, kisha mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.
Yohane 10:12 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
12
Yohane 10:1
“Kweli nawaambieni, yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia mlangoni, bali hupenya na kuingia kwa njia nyingine, huyo ni mwizi na mnyanganyi.
Yohane 10:1 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ഭവനം
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ