1
Mwanzo 9:12-13
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mungu akasema, “Hii ni ishara ya agano ninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, agano kwa vizazi vyote vijavyo: Nimeweka upinde wangu wa mvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya agano nifanyalo kati yangu na dunia.
താരതമ്യം
Mwanzo 9:12-13 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Mwanzo 9:16
Wakati wowote upinde wa mvua unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina duniani.”
Mwanzo 9:16 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Mwanzo 9:6
“Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu, damu yake itamwagwa na mwanadamu; kwa kuwa katika mfano wa Mungu, Mungu alimuumba mwanadamu.
Mwanzo 9:6 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Mwanzo 9:1
Ndipo Mungu akawabariki Nuhu na wanawe, akiwaambia, “Zaeni, mkaongezeke kwa idadi, na mkaijaze tena dunia.
Mwanzo 9:1 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Mwanzo 9:3
Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.
Mwanzo 9:3 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Mwanzo 9:2
Wanyama wote wa nchi, na ndege wote wa angani, na kila kiumbe kinachotambaa juu ya ardhi, na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu.
Mwanzo 9:2 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
7
Mwanzo 9:7
Bali ninyi, zaeni mwongezeke kwa idadi; zidini duniani na kuijaza.”
Mwanzo 9:7 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ഭവനം
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ