1
Yohana 13:34-35
Swahili Roehl Bible 1937
Nawapa agizo jipya: Mpendane! Kama nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo! Kwa hiyo wote watatambua, ya kama m wanafunzi wangu mimi, mtakapopendana ninyi kwa ninyi.*
Mampitaha
Mikaroka Yohana 13:34-35
2
Yohana 13:14-15
Basi, mimi niliye Bwana na Mfunzi wenu nikiwaosha ninyi miguu, imewapasa nanyi kuoshana miguu. Kwani nimewapani la kujifunziamo, mfanyiane ninyi kwa ninyi, kama nilivyowafanyia mimi.*
Mikaroka Yohana 13:14-15
3
Yohana 13:7
Yesu akajibu, akamwambia: Ninachokifanya mimi, wewe hukijui sasa, lakini utakitambua halafu.
Mikaroka Yohana 13:7
4
Yohana 13:16
Kweli kweli nawaambiani: Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake, wala mjumbe si mkubwa kuliko yule aliyemtuma.
Mikaroka Yohana 13:16
5
Yohana 13:17
Mkiyajua haya m wenye shangwe mkiyafanya.
Mikaroka Yohana 13:17
6
Yohana 13:4-5
akainuka penye chakula, akaivua kanzu yake, akatwaa kitambaa cha ukonge, akajifunga kiunoni. Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi miguu na kuisugua kwa kile kitambaa, alichojifunga kiunoni.
Mikaroka Yohana 13:4-5
Fidirana
Baiboly
Planina
Horonan-tsary