1
Mathayo 10:16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Sikilizeni! Ninawatuma, nanyi mtakuwa kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. Hivyo muwe na akili kama nyoka. Lakini pia muwe kama njiwa na msimdhuru yeyote.
Mampitaha
Mikaroka Mathayo 10:16
2
Mathayo 10:39
Wale wanaojaribu kuyatunza maisha waliyonayo, watayapoteza. Lakini wale wanaoyaacha maisha yao kwa ajili yangu watapata uzima halisi.
Mikaroka Mathayo 10:39
3
Mathayo 10:28
Msiwaogope watu. Wanaweza kuua mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Mnapaswa kumwogopa Mungu, anayeweza kuuharibu mwili na roho jehanamu.
Mikaroka Mathayo 10:28
4
Mathayo 10:38
Wale ambao hawataupokea msalaba waliopewa wanaponifuata hawastahili kuwa wanafunzi wangu na kunifuata.
Mikaroka Mathayo 10:38
5
Mathayo 10:32-33
Iwapo mtawaambia watu wengine kuwa mnaniamini, nitamwambia Baba yangu aliye mbinguni kuwa ninyi ni wangu. Lakini ikiwa mtasimama mbele ya wengine na kusema kuwa hamniamini, nitamwambia Baba yangu aliye mbinguni kuwa ninyi si wangu.
Mikaroka Mathayo 10:32-33
6
Mathayo 10:8
Waponyeni wagonjwa. Fufueni waliokufa. Waponyeni watu wenye magonjwa mabaya sana ya ngozi. Na toeni mashetani kwa watu. Ninawapa nguvu hii bure, hivyo wasaidieni wengine bure.
Mikaroka Mathayo 10:8
7
Mathayo 10:31
Hivyo msiogope. Mna thamani kuliko kundi kubwa la ndege.
Mikaroka Mathayo 10:31
8
Mathayo 10:34
Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita.
Mikaroka Mathayo 10:34
Fidirana
Baiboly
Planina
Horonan-tsary