YouVersion 로고
성경묵상동영상
앱 다운로드
언어 선택
검색 아이콘

Mathayo 11 - 인기 성경 구절

1

Mathayo 11:28

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Njooni kwangu ninyi nyote mliochoka kutokana na mizigo mizito mnayolazimishwa kubeba. Nitawapa pumziko.

비교

Mathayo 11:28 살펴보기

2

Mathayo 11:29

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Chukueni nira yangu, jifunzeni kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika.

비교

Mathayo 11:29 살펴보기

3

Mathayo 11:30

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ndiyo, nira yangu ni rahisi. Mzigo ninaowapa muubebe ni mwepesi.”

비교

Mathayo 11:30 살펴보기

4

Mathayo 11:27

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Baba yangu amenipa kila kitu. Hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba peke yake. Na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana ndiye anayemjua Baba. Na watu pekee watakaomjua Baba ni wale ambao Mwana atachagua kuwaonesha.

비교

Mathayo 11:27 살펴보기

5

Mathayo 11:4-5

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mliyosikia na kuona: Vipofu wanaona. Viwete wanatembea. Watu wenye magonjwa ya ngozi wanaponywa. Wasiyesikia wanasikia. Wafu wanafufuliwa. Na habari njema inahubiriwa kwa maskini.

비교

Mathayo 11:4-5 살펴보기

6

Mathayo 11:15

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ninyi watu mnaonisikia, sikilizeni!

비교

Mathayo 11:15 살펴보기

Mathayo 11: 관련 무료 묵상 계획

이전 장
다음 장
YouVersion

매일 하나님과 친밀하게 동행하도록 격려하고 도전하기.

사역

소개

채용 정보

자원 봉사

블로그

기사

유용한 링크

도움

후원

성경 번역본

오디오 성경

성경 언어

오늘의 말씀


디지털 사역

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

개인 정보 취급 정책약관
취약점 공개 프로그램
페이스북트위터인스타그램유튜브핀터레스트

홈

성경

묵상

동영상