1
Lk 12:40
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Adamu.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Lk 12:40
2
Lk 12:31
Bali utafuteni ufalme wa Mungu, na hayo mtaongezewa.
Nyochaa Lk 12:31
3
Lk 12:15
Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.
Nyochaa Lk 12:15
4
Lk 12:34
Kwa kuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapokuwapo na mioyo yenu.
Nyochaa Lk 12:34
5
Lk 12:25
Na yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?
Nyochaa Lk 12:25
6
Lk 12:22
Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.
Nyochaa Lk 12:22
7
Lk 12:7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko mashomoro wengi.
Nyochaa Lk 12:7
8
Lk 12:32
Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.
Nyochaa Lk 12:32
9
Lk 12:24
Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!
Nyochaa Lk 12:24
10
Lk 12:29
Ninyi msitafute mtakavyokula wala mtakavyokunywa; wala msifanye wasiwasi
Nyochaa Lk 12:29
11
Lk 12:28
Basi, ikiwa Mungu huvika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatawatendea ninyi zaidi, enyi wa imani haba?
Nyochaa Lk 12:28
12
Lk 12:2
Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana.
Nyochaa Lk 12:2
Ebe Mmepe Nke Mbụ Nke Ngwá
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ Ihe Ogụgụ Gasị
Vidiyo Gasị