1
Yohana 9:4
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Yanipasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenituma wakati bado ni mchana, kwa kuwa usiku waja ambapo hakuna mtu awezaye kufanya kazi.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yohana 9:4
2
Yohana 9:5
Wakati niko ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”
Nyochaa Yohana 9:5
3
Yohana 9:2-3
Wanafunzi wake wakamuuliza, “Mwalimu, ni nani aliyetenda dhambi; ni huyu mtu au wazazi wake hata azaliwe kipofu?” Isa akawajibu, “Huyu mtu wala wazazi wake hawakutenda dhambi. Alizaliwa kipofu ili kazi za Mungu zidhihirishwe katika maisha yake.
Nyochaa Yohana 9:2-3
4
Yohana 9:39
Isa akasema, “Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona wawe vipofu.”
Nyochaa Yohana 9:39
Ulo
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ
Vidiyo