1
Yohana 10:10
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Mwizi huja ili aibe, aue na aangamize. Mimi nimekuja ili wapate uzima, kisha wawe nao tele.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yohana 10:10
2
Yohana 10:11
“Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Nyochaa Yohana 10:11
3
Yohana 10:27
Kondoo wangu huisikia sauti yangu nami nawajua, nao hunifuata.
Nyochaa Yohana 10:27
4
Yohana 10:28
Nami ninawapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu.
Nyochaa Yohana 10:28
5
Yohana 10:9
Mimi ndimi lango. Yeyote anayeingia zizini kupitia kwangu ataokoka. Ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Nyochaa Yohana 10:9
6
Yohana 10:14
“Mimi ndimi mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu, nao kondoo wangu wananijua.
Nyochaa Yohana 10:14
7
Yohana 10:29-30
Baba yangu aliyenipa hawa ni mkuu kuliko wote, na hakuna awezaye kuwapokonya kutoka mikononi mwake. Mimi na Baba yangu tu umoja.”
Nyochaa Yohana 10:29-30
8
Yohana 10:15
Kama vile Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba, ndivyo nami ninautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
Nyochaa Yohana 10:15
9
Yohana 10:18
Hakuna mtu aniondoleaye uhai wangu, bali ninautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu, na pia ninao uwezo wa kuutwaa tena. Amri hii nimepewa na Baba yangu.”
Nyochaa Yohana 10:18
10
Yohana 10:7
Kwa hiyo Isa akasema nao tena, akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
Nyochaa Yohana 10:7
11
Yohana 10:12
Mtu wa kuajiriwa sio mchungaji mwenye kondoo. Anapomwona mbwa-mwitu akija, yeye hukimbia na kuwaacha kondoo. Naye mbwa-mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya.
Nyochaa Yohana 10:12
12
Yohana 10:1
“Amin, amin nawaambia, yeye asiyeingia katika zizi la kondoo kupitia kwenye lango, lakini akwea kuingia ndani kwa njia nyingine, huyo ni mwizi na mnyang’anyi.
Nyochaa Yohana 10:1
Ulo
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ
Vidiyo