1
Yohana 14:27
Swahili Roehl Bible 1937
Nawaachia utengemano, utengemano wangu nawapani. Mimi siwapi, kama ulimwengu unavyowapa. Mioyo yenu isizizimke, wala isiogope!
Compare
Yohana 14:27 ખોજ કરો
2
Yohana 14:6
Yesu akamwambia: Mimi ndiyo njia na kweli na uzima; hakuna atakayefika kwa Baba asiponishika mimi.*
Yohana 14:6 ખોજ કરો
3
Yohana 14:1
Mioyo yenu isizizimke! Mtegemeeni Mungu, nami mnitegemee!
Yohana 14:1 ખોજ કરો
4
Yohana 14:26
Lakini yule mtuliza mioyo, yule Roho Mtakatifu, Baba atakayemtuma katika Jina langu, ndiye atakayewafundisha yote na kuwakumbusha yote, mimi niliyowaambia ninyi.
Yohana 14:26 ખોજ કરો
5
Yohana 14:21
Aliye na maagizo yangu, akiyashika, huyo ndiye mwenye kunipenda. Lakini mwenye kunipenda atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda nimwonyeshe, nilivyo.*
Yohana 14:21 ખોજ કરો
6
Yohana 14:16-17
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa mtuliza mioyo mwingine, akae pamoja nanyi kale na kale. Ndiye Roho wa kweli, ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni, wala haumtambui. Ninyi mnamtambua, kwani anakaa kwenu, naye atakuwamo mwenu.
Yohana 14:16-17 ખોજ કરો
7
Yohana 14:13-14
Tena lo lote, mtakaloliomba katika Jina langu, nitalifanya, Baba apate kutukuzwa, kwa kuwa yumo mwake Mwana. Mtakaloniomba katika Jina langu, nitalifanya.
Yohana 14:13-14 ખોજ કરો
8
Yohana 14:15
*Mkinipenda yashikeni maagizo yangu!
Yohana 14:15 ખોજ કરો
9
Yohana 14:2
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi. Kama visingekuwa hivyo, ningewaambia: Nakwenda kuwatengenezea mahali.
Yohana 14:2 ખોજ કરો
10
Yohana 14:3
Nami ijapokuwa ninakwenda kuwatengenezea mahali, nitakuja tena, niwachukue kuwapeleka mwangu, kwamba nanyi mwepo hapo, nilipo mimi.
Yohana 14:3 ખોજ કરો
11
Yohana 14:5
Ndipo, Toma alipomwambia: Bwana, tusipopajua, unapokwenda, njia tutaijuaje?
Yohana 14:5 ખોજ કરો
હોમ
બાઇબલ
યોજનાઓ
વિડિઓઝ