1
Efe 6:12
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Comparar
Explorar Efe 6:12
2
Efe 6:18
kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote
Explorar Efe 6:18
3
Efe 6:11
Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
Explorar Efe 6:11
4
Efe 6:13
Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.
Explorar Efe 6:13
5
Efe 6:16-17
zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu
Explorar Efe 6:16-17
6
Efe 6:14-15
Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani
Explorar Efe 6:14-15
7
Efe 6:10
Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
Explorar Efe 6:10
8
Efe 6:2-3
Waheshimu baba yako na mama yako; amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi, Upate heri, ukae siku nyingi katika dunia.
Explorar Efe 6:2-3
9
Efe 6:1
Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.
Explorar Efe 6:1
Inicio
Biblia
Planes
Videos