YouVersion Logo
Search Icon

Obadia UTANGULIZI

UTANGULIZI
Kijitabu hiki cha nabii Obadia ni kidogo kuliko vitabu vyote vya manabii. Unabii wa Obadia unahusu mambo mawili: Adhabu ya Edomu (aya 1-14), na “Siku ya Mwenyezi-Mungu” ambapo Waisraeli watalipiza kisasi watu wa Edomu (aya 15-21). Labda kijitabu hiki kiliandikwa huko Yuda muda mfupi kabla ya kurudi kutoka uhamishoni.

Currently Selected:

Obadia UTANGULIZI: BHN

Highlight

Share

Copy

None

Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in