Obadia UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kijitabu hiki cha nabii Obadia ni kidogo kuliko vitabu vyote vya manabii. Unabii wa Obadia unahusu mambo mawili: Adhabu ya Edomu (aya 1-14), na “Siku ya Mwenyezi-Mungu” ambapo Waisraeli watalipiza kisasi watu wa Edomu (aya 15-21). Labda kijitabu hiki kiliandikwa huko Yuda muda mfupi kabla ya kurudi kutoka uhamishoni.
Currently Selected:
Obadia UTANGULIZI: BHN
Highlight
Share
Copy
![None](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2F58%2Fhttps%3A%2F%2Fweb-assets.youversion.com%2Fapp-icons%2Fen.png&w=128&q=75)
Want to have your highlights saved across all your devices? Sign up or sign in
Biblia Habari Njema kwa Watu Wote (Yenye Vitabu vya Deuterokanoni): Tafsiri ya Ushirikiano wa Makanisa (BHN): Hakimiliki -1995, 2001: kwa Chama cha Biblia cha Tanzania na Chama cha Biblia cha Kenya. Haki zote zimehifadhiwa.