1
Mhubiri 6:9
Swahili Revised Union Version
Heri kuona kwa macho, Kuliko kutangatanga kwa tamaa. Hayo nayo ni ubatili, na kufukuza upepo.
Compare
Explore Mhubiri 6:9
2
Mhubiri 6:10
Na awe kitu chochote, aliitwa jina lake zamani za kale, naye amejulikana kuwa ndiye mwanadamu; wala hawezi kabisa kushindana na yeye aliye na uwezo kuliko yeye mwenyewe.
Explore Mhubiri 6:10
3
Mhubiri 6:2
mtu aliyepewa na Mungu mali, ukwasi, na heshima, hata asipungukiwe na kitu chochote kwa nafsi yake, katika yote anayoyatamani lakini Mungu hamwezeshi kula katika hizo; bali mgeni hula. Hayo ndiyo ubatili hasa, nayo ni ugonjwa mbaya.
Explore Mhubiri 6:2
4
Mhubiri 6:7
Juhudi zote za binadamu ni kwa kinywa chake, Lakini hamu yake haitosheleki.
Explore Mhubiri 6:7
Home
Bible
Plans
Videos