1
Mhubiri 7:9
Swahili Revised Union Version
Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Compare
Explore Mhubiri 7:9
2
Mhubiri 7:14
Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lolote litakalofuata baada yake.
Explore Mhubiri 7:14
3
Mhubiri 7:8
Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.
Explore Mhubiri 7:8
4
Mhubiri 7:20
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.
Explore Mhubiri 7:20
5
Mhubiri 7:12
Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.
Explore Mhubiri 7:12
6
Mhubiri 7:1
Heri sifa njema kuliko manukato ya thamani; Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.
Explore Mhubiri 7:1
7
Mhubiri 7:5
Heri kusikia laumu ya wenye hekima, Kuliko mtu kusikia wimbo wa wapumbavu
Explore Mhubiri 7:5
8
Mhubiri 7:2
Heri kuiendea nyumba ya matanga, Kuliko kuiendea nyumba ya karamu. Kwa maana huo ndio mwisho wa wanadamu wote, naye aliye hai atautia moyoni mwake.
Explore Mhubiri 7:2
9
Mhubiri 7:4
Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.
Explore Mhubiri 7:4
Home
Bible
Plans
Videos