1
Mk 15:34
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
對照
Mk 15:34 探索
2
Mk 15:39
Basi yule akida, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Mk 15:39 探索
3
Mk 15:38
Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini.
Mk 15:38 探索
4
Mk 15:37
Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Mk 15:37 探索
5
Mk 15:33
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hata saa tisa.
Mk 15:33 探索
6
Mk 15:15
Pilato akipenda kuwaridhisha makutano, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulibiwe.
Mk 15:15 探索
主頁
聖經
計劃
影片