Mattayo MT. 24:9-11

Mattayo MT. 24:9-11 SWZZB1921

Wakati huo watawasaliti ninyi mpate kuteswa, na watawaua; na mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa vote kwa ajili ya jina langu. Ndipo wengi watajikwaa, na watasalitiana, na kuchukiana. Na manabii wengi wa uwongo wataondoka, watadanganya wengi.

Àwọn fídíò fún Mattayo MT. 24:9-11