1
Mattayo MT. 4:4
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Mattayo MT. 4:4
2
Mattayo MT. 4:10
Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.
Ṣàwárí Mattayo MT. 4:10
3
Mattayo MT. 4:7
Yesu akamwambia. Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Ṣàwárí Mattayo MT. 4:7
4
Mattayo MT. 4:1-2
NDIPO Yesu alipopandishwa na Roho hatta jangwani, illi ajaribiwe na Shetani. Akafunga siku arubaini mchana na usiku, baadae akaona njaa.
Ṣàwárí Mattayo MT. 4:1-2
5
Mattayo MT. 4:19-20
Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wii watu. Marra wakaziacha nyavu, wakamfuata.
Ṣàwárí Mattayo MT. 4:19-20
6
Mattayo MT. 4:17
Tokea wakati huo Yesu akaanza kukhubiri, na kusema, Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Ṣàwárí Mattayo MT. 4:17
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò