1
Mattayo MT. 18:20
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa kuwa wawili au watatu walipo wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:20
2
Mattayo MT. 18:19
Tena nawaambieni, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:19
3
Mattayo MT. 18:2-3
Yesu akaita kitoto, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambieni, Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia kabisa katika ufalme wa mbinguni.
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:2-3
4
Mattayo MT. 18:4
Bassi, ye yote anyenyekeae kama kitoto hiki, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:4
5
Mattayo MT. 18:5
Na ye yote atakaepokea kitoto kimoja mfano wa hiki kwa jina langu, anipokea mimi
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:5
6
Mattayo MT. 18:18
Amin, nawaambieni, Yo yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:18
7
Mattayo MT. 18:35
Vivyo hivyo na Baba yangu wa mbinguni atawatenda ninyi, kama ninyi kwa mioyo yenu hamkusamehe killa mtu ndugu yake makosa yake.
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:35
8
Mattayo MT. 18:6
bali atakaekosesha mmoja wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:6
9
Mattayo MT. 18:12
Mwaonaje? mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je, hawaachi wale tissa na tissaini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?
Ṣàwárí Mattayo MT. 18:12
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò