1
Mathayo 4:4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu akajibu, “Maandiko yanasema, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno linalotoka katika kinywa cha Mungu.’”
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Mathayo 4:4
2
Mathayo 4:10
Yesu akamjibu Shetani akamwambia, “Ondoka kwangu Shetani! Kwani Maandiko yanasema, ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake!’”
Ṣàwárí Mathayo 4:10
3
Mathayo 4:7
Yesu akamjibu, “Pia, Maandiko yanasema, ‘usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
Ṣàwárí Mathayo 4:7
4
Mathayo 4:1-2
Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana.
Ṣàwárí Mathayo 4:1-2
5
Mathayo 4:19-20
Yesu akawaambia, “Njooni, mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa aina nyingine. Nitawafundisha jinsi ya kukusanya watu badala ya samaki.” Mara moja, Simoni na Andrea wakaziacha nyavu zao na kumfuata Yesu papo hapo.
Ṣàwárí Mathayo 4:19-20
6
Mathayo 4:17
Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaambia watu ujumbe wake unaosema, “Mbadili mioyo yenu na maisha yenu pia, kwa sababu Ufalme wa Mungu umewafikia.”
Ṣàwárí Mathayo 4:17
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò