Luka 24:31-32

Luka 24:31-32 SCLDC10

Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao. Basi, wakaambiana, “Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?”

Прочитати Luka 24

Безплатні плани читання та молитовні роздуми до Luka 24:31-32