1
Luka MT. 24:49
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Angalieni, bassi, naituma ahadi ya Baba yangu kwenu: lakini kaeni katika mji huu Yerusalemi, hatta mtakapovikwa nguvu zitokazo juu.
Karşılaştır
Luka MT. 24:49 keşfedin
2
Luka MT. 24:6
Kumbukeni jinsi alivyosema nanyi alipokuwa hajatoka Galilaya, akinena
Luka MT. 24:6 keşfedin
3
Luka MT. 24:31-32
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua, akatoweka asionekane nao. Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwa ikiwaka ndani yetu, alipokuwa akisema nasi njiani, akitufunulia maandiko?
Luka MT. 24:31-32 keşfedin
4
Luka MT. 24:46-47
Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, na ndivyo ilivyompasa Kristo kuteswa, na kufufuka siku ya tatu; na mataifa yote wakhubiriwe kwa jina lake toba na ondoleo la dhambi, kuanzia Yerusalemi.
Luka MT. 24:46-47 keşfedin
5
Luka MT. 24:2-3
Wakalikuta lile jiwe limefingirishwa mbali ya kaburi. Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu.
Luka MT. 24:2-3 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar