1
Yohana 4:24
Swahili Revised Union Version
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
ஒப்பீடு
Yohana 4:24 ஆராயுங்கள்
2
Yohana 4:23
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Yohana 4:23 ஆராயுங்கள்
3
Yohana 4:14
lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Yohana 4:14 ஆராயுங்கள்
4
Yohana 4:10
Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.
Yohana 4:10 ஆராயுங்கள்
5
Yohana 4:34
Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.
Yohana 4:34 ஆராயுங்கள்
6
Yohana 4:11
Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai?
Yohana 4:11 ஆராயுங்கள்
7
Yohana 4:25-26
Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote. Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe, ndiye.
Yohana 4:25-26 ஆராயுங்கள்
8
Yohana 4:29
Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Inawezekana kuwa huyu ndiye Kristo?
Yohana 4:29 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்