1
Yohana 3:16
Swahili Revised Union Version
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
ஒப்பீடு
Yohana 3:16 ஆராயுங்கள்
2
Yohana 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Yohana 3:17 ஆராயுங்கள்
3
Yohana 3:3
Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.
Yohana 3:3 ஆராயுங்கள்
4
Yohana 3:18
Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
Yohana 3:18 ஆராயுங்கள்
5
Yohana 3:19
Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
Yohana 3:19 ஆராயுங்கள்
6
Yohana 3:30
Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.
Yohana 3:30 ஆராயுங்கள்
7
Yohana 3:20
Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
Yohana 3:20 ஆராயுங்கள்
8
Yohana 3:36
Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.
Yohana 3:36 ஆராயுங்கள்
9
Yohana 3:14
Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa
Yohana 3:14 ஆராயுங்கள்
10
Yohana 3:35
Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.
Yohana 3:35 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்