Zaburi 98:9
Zaburi 98:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Shangilieni mbele ya Mwenyezi-Mungu, maana anakuja kutawala dunia. Atauhukumu ulimwengu kwa haki, atawatawala watu kwa uadilifu.
Shirikisha
Soma Zaburi 98Zaburi 98:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mbele za BWANA; Kwa maana anakuja kuihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa uaminifu, Na mataifa kwa adili.
Shirikisha
Soma Zaburi 98