Zaburi 67:4
Zaburi 67:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Mataifa yote yafurahi na kuimba kwa furaha; maana wawahukumu watu kwa haki, na kuyaongoza mataifa duniani.
Shirikisha
Soma Zaburi 67Zaburi 67:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mataifa na washangilie, Naam, waimbe kwa furaha, Maana kwa haki utawahukumu watu, Na kuwaongoza mataifa walioko duniani.
Shirikisha
Soma Zaburi 67