Zaburi 56:8
Zaburi 56:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Wewe wakujua kusukwasukwa kwangu; waweka kumbukumbu ya machozi yangu yote. Je, yote si yamo kitabuni mwako?
Shirikisha
Soma Zaburi 56Zaburi 56:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Umehesabu kutangatanga kwangu; Uyatie machozi yangu katika chupa yako; (Je! Hayamo katika kitabu chako?)
Shirikisha
Soma Zaburi 56