Zaburi 31:9
Zaburi 31:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Unionee huruma, ee Mwenyezi-Mungu, niko taabuni; macho yangu yamechoka kwa huzuni, nimeishiwa nguvu mwilini na rohoni.
Shirikisha
Soma Zaburi 31Zaburi 31:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee BWANA, unifadhili, maana ni katika dhiki, Jicho langu limenyauka kwa masumbufu, Naam, mwili wangu na nafsi yangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 31